MKURUGENZI HOSPITALI YA BENJAMIN MKAPA AKUTANA NA MABALOZI
Mkurugenzi Mtendaji Hospitali ya Benjamin Mkapa Dkt.Alphonce Chandika November 24 2022 amekutana na mabalozi wa Tanzania waliopo Mashariki ya kati,Ulaya na Amerika, Asia pamoja na Australasia kwa dhumuni la kuwaeleza mafanikio yaliyo letwa na Serikali katika sekta ya afya.”Hospitali ya Benjamin Mkapa ni Hospitali ya Serikali inayo wahudumia wananchi wote kwa kiwango kinacho stahili”amesema Dkt.Chandika “Serikali
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed